LOVEMAMS |
BOSS OSTAZ JUMA NAMUSOMA |
Amefanikiwa kumpata Boss wa MTANASHATI ENTERTINMENT OSTAZ JUMA NAMUSOMA na kumuomba kufanyanae kazi, Pamoja hatujapata mawasiliano na Boss huyo lakin nyeti tulizo nazo ni kwamba mwanadada huyo tayari kuingia rasmi kwa kampuni hiyo sasa na wameisha anza michakato ya kazi wakiwa nchini KENYA.
Comentarios