MECCACHEKA:Zimebaki siku mbilli...!

Kundi la muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania kutoka Arusha(MECCACHEKA) Wanatarajia kuachia nyimbo yao mpya ijulikanayo kama KIBANTU waliyo fanya na producer anae tamba kwenye game ya mziki()MESEN-SELEKTA,

Nyimbo hiyo ambae imetamba katika mitandao ya kijamii kama,Facebook,twitter,Instagram na  Whatsapp,baada ya kuwapa shabiki zao kionjo cha nyimbo hiyo.
Audio hiyo inatambulishwa rasmi ijuma ya tarehe tano february.
Follow @mecca_chekatz, @mesenselektatz

Comentarios